Tuesday, May 17, 2022

Rapcha atanganza kuachia "To The Top" 20/5



Msanii wa P Funk Majani, Rapcha, anadondosha projekti mpya 20/5 ikiwa na 'tracks' tano. Queen Fifi ukipenda Frida Amani, pamoja na Barakah Da Prince wameshirikishwa kwenye projecti hiyo.

Angalia orodha ya ngoma hapo chini. Tweet si inasomeka?

No comments:

Post a Comment